Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Salim Kikeke's photo.
Mwimbaji nyota wa Marekani Chris Brown ameachiliwa kutoka gereza moja la Los Angeles.
Naibu Liwali wa LA, Tony Moore amesema mwimbaji huyo wa miondoko ya R&B ameachiliwa siku ya Jumatatu asubuhi.

Brown amekuwa gerezani tangu Machi 14, baada ya kuvunja sheria ya mahakama kuhusiana na kesi ya kumpiga mpenzi wake wa zamani, Rihanna mwaka 2009.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top