Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Baadhi ya washiriki wa Shindano la Tanzania Movie Talents Kanda ya Kaskazini Wakiwa kwenye mstari tayari kwa kuchukua fomu za ushiriki wa shindano hilo linaloendelea Mkoani Arusha.
Wafanyakazi wa Proin Promotions wakitoa maelekezo ya kujaza fomu za ushiriki wa shindano la Tanzania Movie Talents kwa washiriki waliojitokeza katika Kanda ya Kaskazini Mkoani Arusha
 
Washiriki wa Tanzania Movie Talents wakijaza fomu
 Washiriki wakiwa katika sehemu ya kusubiria kwajili ya kwenda kwa majaji kuonyesha vipaji vyao vya kuigza
 Wakitafakari juu ya  Kushiriki na kufanya vizuri katika Mashindano hayo
 Wakipeana Moyo..
 Msanii wa Vichekesho Tanzania Lucas Muhavule aka Joti (Kulia) akibadilishana mawazo na Afisa Utamaduni Mkoa wa Arusha Bi Amina Hassan wakati alipotembelea kutaza mashindano ya Tanzania Movie Talents yanavyoendeshwa.
Baadhi ya Kameramani wa Tanzania Movie Talents wakiwa tayari kwa kazi

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top