![]() |
Balozi
wa Togo nchini Nigeria amefariki akiwa na kimada kwenye ajali ya gari.
Inasemekana marehemu hao walikuwa wameenda 'Club' kujistarehesha kisha
wakati wa kurudi gari walilokuwa wakiendesha likapata ajali ya kuingia
baharini.
Source:liveofofo
<<<<<BOFYA HAPA ULIKE PAGE YETU>>>>>
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro








Post a Comment
Post a Comment