Tukio
hilo lilitokea juzikati maeneo ya Kijitonyama jijini Dar ambapo
ilidaiwa kuwa, binti huyo akiwa amevalia kimini alishuka kwenye Bajaj
na kwenda kwenye hoteli iliyopo maeneo hayo bila kujulikana alikotokea.
Akizungumzia tukio hilo, mmoja wa mashuhuda aliyejitambulisha kwa jina la Stella alisema: “Huyu dada namjua, ana mchumba wake waliwahi kufika dukani kwangu kufanya ‘shopping’. Leo asubuhi alikuja hapa na kuuliza kama atapata maziwa, alikuwa amevaa kihasara, wakati tunaendelea kuongea naye, akaanza kulegea na kuanguka.
Waandishi wetu walipofika eneo la tukio walimkuta binti huyo akiwa hajitambui na alipomwagiwa maji ya baridi alizinduka na kusema; “hapa niko wapi, nimeaibika!”
>>>>GPL
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Post a Comment
Post a Comment