Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

WASANII nyota wa vichekesho Bongo, Ulimboka Mwalulesa ‘Senga Kijumule’ na swahiba wake, Yusuph Kaimu Machoti ‘Pembe’ hivi karibuni walifunga mtaa mjini Kahama baada ya mashabiki kuwazunguka kwa dakika 45 wakiwashangaa.
Wasanii nyota wa vichekesho Bongo, Ulimboka Mwalulesa ‘Senga Kijumule’(kulia) na swahiba wake, Yusuph Kaimu Machoti ‘Pembe’.
Wawili hao ambao walijipatia umaarufu mkubwa wakati walipokuwa wakiigiza kupitia televisheni, walikuwa katika Wilaya za Mbogwe na Kahama wakati wa uzinduzi wa albamu ya tatu ya msanii wa muziki wa asili wa Kabila la Wasukuma aitwaye Bhudagala.
Wasanii hao wakiwa kazini.
Baada ya wananchi kuwaona wasanii hao wakitembea kwa miguu katika mitaa mjini hapa, walianza kuwafuata taratibu na hatimaye kujikuta wakiwa kundi kubwa ambalo halikutarajiwa.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top