Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

 Padri Octaviani Msimbe akiongoza ibada ya kumbukumbi ya kifo cha Albart Mangweha nyumbani kwao Kihonda 'Mazimbu Road' Morogoro
 
                        
 Padri Msimbe akisalimiana na mama mzazi wa Mangweha Bi Denisia Mangweha
 Mama Mangweha akipokea sakrameti takatifu

 Mchumba wa Mangweha  Michelle Louise raia ya Uingereza akihojiwa
 Msanii wa bongofleva Mgaza Pembe' M-2 THE- P ambaye alikuwa na m,arehemu Mangweha Afrika Kusini akipiga picha matukio ya lbada hiyo,
Mama Mangweha akitoa shukrani kwa watu walioshiriki lbada hiyo. 
Picha na Dastan Shekidele.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top