Inawezekana penzi na rapa huyu limekolea haswa maana imegundulika hakufanya hivyo kwenye ndoa yake na mcheza kikapu Humphries mwaka 2011,kwa madai kuwa jina la Kardashian tayari ni 'Brand' kwa hiyo hawezi kuongeza au kupunguza kitu! Huenda alijua kuwa ndoa haitadumu kama ilivyotokea..
BOFYA HAPA LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Post a Comment
Post a Comment