Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Umati wa watu wakishuhudia.

Polisi wakibeba mwili wa marehemu.

Mwili ukipakiwa garini.

Polisi wakisubiri gari ilikumchukuwa marehemu.

Askari wakiandaa gari ili kupakiwa mwili wa marehemu.

Kibaka maarufu kama mbwa mwitu aliyeuwawa na  wananchi wenye hasira kali.

Kufuatia tabia ya vijana kuuunda makundi ya uharifu na kuvamia nyumba au watu mchana kweupe na kufanya vitendo vya uporaji na kupiga huku wakijibatiza majina kama vile mbwa mwitu na panya road,Kibaka mmoja amejikuta akiuwawa na kundi la wananchi mwenye hasira kali.


Ishu nzima ilitokea baada ya  vijana hao kuiba  pikipiki  juzi ya jamaa mmoja na wakati wakiwa wanaondoka ndipo mmoja wa vibaka hao alipodondoka na wananchi kumshambulia kwa kumpiga na kufa.


Mazishi ya kibaka huyo yalifanyika leo na ndipo kundi kubwa la mbwa mwitu wapatao 20 na kuendelea walipovamia makazi ya watu kwa kuingia kila nyumba kwa kupora mali zao ikiwa ni pamoja na kuwapiga jambo lililowakasirisha wakazi wa Kigogo Sambusa na kuamua kuwavalia njuga na ndipo walipomkamata  kibaka mmoja na kumuua.
PICHA ZOTE NA Gabriel Ng’osha/GPL
<<<<<BOFYA HAPA ULIKE PAGE YETU>>>>>

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top