
Mke wa marehemu janeth Rithe akiweka shada la maua kwenye kaburi la mmewe


Jacob steven 'JB' Akiweka shada la maua kwenye kaburi

Msanii wa bongo movie, mariam akiweka shada la maua kwenye kaburi la kuambiana



Mwili wa marehemu kwambiana ukishushwa kaburi kwenye nyumba yake ya milele


Mafundi wakichanganya zenge na mchana kwa niamba ya kustili mwili wa marehemu kwambiana




JB akiwa kakaa chini baada ya kuzidiwa na kudondoka alipokuwa anatoa wasaa
wa marehemu adam kwambiana
Wasanii na mabausa wenzake wakimnyanyua baada ya kuzidiwa na kudondoka chini
Rose ndauka akilia huku akiwa kashikiliwa na msanii mwenzake tafu
<<<<<BOFYA HAPA ULIKE PAGE YETU>>>>>
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro







Post a Comment
Post a Comment