Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

WANANCHI  wenye  hasira  kali wakazi  wa  mtaa wa Mtwivila D katika Manispaa ya  Iringa wamemuua mtuhumiwa mwingine wa ujambazi  aliyetambulika kwa  jina la Ayubu Mhema (31) msukuma mkokoteni mkazi wa  Wangama mkoani Njombe  kwa tuhuma  za wizi  wa  mali za  wananchi  wa  eneo  hiloTukio  hilo   lilitokea leo  majira ya saa 3  asubuhi baada ya  mtuhumiwa  huyo  kukamatwa akiwa na nguo zilizojaa ngunia  moja ambazo  aliziiba katika   nyumba ya  mkazi  mmoja wa  eneo  hilo  baada ya  kuvunja mlang 

Hapa  mwili wa mtuhumiwa  huyo ukishushwa  kwa ajili ya kuhifadhiwa  chumba cha maiti  Hospitali ya  rufaa ya mkoa  wa Iringa
Mtuhumiwa wa  wizi Ayubu Mhema akiwa amelala  hoi




Wakizungumza na  mwandishi  wa  habari hizi pasipo  kutaja majina  yao  wananchi hao  walisema  kuwa  kumekuwepo na matukio  endelevu ya  wizi katika  eneo hilo na  mbali ya  wezi  hao kukamatwa na kufikishwa  polisi  ila  bado  wamekuwa  wakiachiwa  huru jambo ambalo  limeongeza wimbi la wizi  katika  eneo  hilo.



Hata  hivyo  walisema mtuhumiwa  huyo Mhema amepatwa  kukamatwa eneo  hilo zaidi ya mara nne  akiwa na  wenzake ila  mbali ya  kupewa  kichapo bado  amekuwa akirudia  kuiba . Bofya hapa kuendelea kusoma zaidi

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top