Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Mamba aliekua akiishi katika ziwa Victoria mwenye
umri wa miaka 80, mwenye uzito unaokadiriwa
kukaribia tani moja amekamatwa katika ziwa
Victoria upande wa Uganda ni baada ya wananchi
kulalamika kuhusu mamba huyo anaekula watu,
huku akikadiriwa kuwa ameshakula watu
wasiopungua sita mpaka kukamatwa kwake

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top