Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Mama yake huwa anamuandalia kuku kama
chakula cha siku lakini anakataa na kutaka
apewe vipande vya matofali.
Kwa siku moja anakula vipande kadhaa vya
matofali ambapo kwa makadirio huwa
anakula kilo 3 kila siku.
Fundi huyo wa kujenga nyumba Pakkirappa
Hunagundi anasema kwamba ameanza kula
vitu kama hivyo tangu akiwa na miaka 10 na
anaweza kukosa chakula lakini hawezi
kukosa kula vipande vya matofali.
Akiwa anapata chakula chake hicho
akipendacho(matofali) huwa anahitaji
kikombe cha maji tu ili kushushia na
mwenyewe anasisitiza kwamba hajisikii
tofauti kabisa.
Mkazi huyo wa kijiji cha Karnataka nchini
India anasema anataka kuzunguka India
nzima akionyesha watu uwezo wake huo na
kujipatia pesa kwa kuonyesha maajabu hayo.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top