Baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba wakiwa wamesimama kwa
nyakati tofauti tofauti wakimkatiza Mwenyekiti wa Kamati namba 1, Mh.
Ummy Mwalimu wakimtaka Mwenyekiti wa Bunge amtake Ummy Mwalim kusoma
mapendekezo ya kamati badala ya kuwasilisha kwa mfumo wa kutosoma.
Mwenyekiti wa Kamati namba 1,Mh. Ummy Ally Mwalimu akiwasilisha
mapendekezo ya kamati yake leo wakati wa muendelezo wa vikao vya Bunge
la Katiba vinavyoendelea mjini Dodoma.
Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi
Post a Comment
Post a Comment