Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Watoto wa marehemu wakiwa katika majonzi na huzuni baada ya kumpoteza baba yao ambaye amafariki dunia tarehe 13 april katika Hospitali ya Taifa Muhimbili baada ya kusumbuliwa na matatizo ya moyo kwa kipindi kirefu.
 
 
Pia mdogo wa marehemu Ramadhani Mwishehe na Mtoto Mwalim Muhidin Gurumo walizungumza na sammisago,com wakielezea juu ya kifo cha
Muhidin Gurumo maarufu kama Mzee Gurumo na mazishi yatakapofanyika Kisarawe Masaki
“Baba yetu aliugua kwa muda mrefu sana anaugua anapata nafuu anaugua anapata nafuu siku ya mwisho jana saa kumi na moja alfajiri alizidiwa pumzi ilikuwa zimembana tukampeleka Hospitali Muhimbili pale, leo hii saa nane mchana ndiyo anaaga dunia na prosesi za mazishi zitakuwa kesho saa tano asubuhi na atazikwa Masaki uzaramuni” Mtoto wa Marehemu Mwalim Mwidin Ngurumo.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top