![Screen Shot 2014-04-13 at 5.10.14 PM](http://i2.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2014/04/Screen-Shot-2014-04-13-at-5.10.14-PM.png?resize=388%2C249)
Taarifa zilizothibitishwa na hospitali ya Taifa Muhimbili kwa millardayo.com
zimesema Mzee huyu amefariki dunia akiwa hospitalini hapo leo April 13
2014 saa nane mchana baada ya kuletwa jana asubuhi na kulazwa kwenye
wodi namba 6 ya Mwaisela kutokana na kuzidiwa.
Tayari mwili wake umepelekwa kwenye chumba cha kuhifadhia maiti
ambapo taarifa zaidi kuhusu chanzo cha kifo na taratibu za mazishi.
>>>>Millardayo.com
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Post a Comment
Post a Comment