Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This


Producer anayewania tuzo ya
mtayarishaji bora wa muziki wa bendi
kwenye KTMA 2014 amepata ajali
mbaya na kuumia kichwani huku
bajaj aliyokuwa amepanda kuharibika
sana.
C9 amewahi kutengeneza ngoma
nyingi kama Mama Ntilie, nyimbo
nyingi za marehemu Sharo millionea
na nyingine.
Hivi sasa anaendelea vizuri hadi
anajibu pole anazopewa na mashabiki
zake kwenye mtandao wa instagram.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top