Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Katika kukagua uharibifu wa miundombinu uliosababishwa na mvua kubwa katika Jiji la Dsm, Makamu wa Rais Dk. Mohamed Gharib Bilal, Dk.John Magufuli, Mkuu wa Mkoa wa Dar, Meck Sadiki na Afande Kova wamenusurika ajali ya helikopita iliyotokea leo Jijini Dsm.

 baadhi ya picha za helikopita hiyo ikizimwa moto:

Click image for larger version. 

Name: 3fb6045cabfb482f399ddd01b2f3d459.jpg 
Views: 0 
Size: 72.5 KB 
ID: 151056
Helikopita Ikizimwa Moto

Click image for larger version. 

Name: 7a485f354cb07268f3d727d1d35073da.jpg 
Views: 0 
Size: 73.5 KB 
ID: 151057

Hali ikiwa shwali
Click image for larger version. 

Name: 16c84ae9b714c405f2f16523a247c4f0.jpg 
Views: 0 
Size: 77.4 KB 
ID: 151058

Click image for larger version. 

Name: 3d4c4b635025850f151d4afc4c207bf7.jpg 
Views: 0 
Size: 32.6 KB 
ID: 151060





Imedhibitishwa ni kweli kupitia TBC walio nusurika ni

1. Makamu wa Rais, Dr. Bilal


2. Mkuu wa mkoa wa Dar, Sadik


3. Mkuu wa polisi Kanda Maalum, Kova

          4.  Mwandishi wa habari wa tbc 

Wamepata majeraha kidogo walikuwa wakikaguwa athari za mvua jijini


Habari zaidi zitaendelea kuwajia
>>>>picha JF

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top