Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Stori: Imelda Mtema UZUSHI! Staa wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja ameitolea mbavuni skendo ya kujiuza nchini China inayowatafuna mastaa wengi wa kike Bongo. Kajala ambaye mara kwa mara amekuwa akisafiri kwenda nchini China, alipozungumza na paparazi wetu aliruka viunzi na kufafanua: “China nakwenda kwa pesa zangu, nalipa dola 5000 (business class), nina dili zangu za kikazi na si kujiuza kama wapo wanaofanya hivyo ni wao lakini si mimi.” GPL Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to Facebook

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top