Msanii wa kundi la FUTUHI mzee DUDE afariki dunia leo mida ya saa 11 jioni, kabla ya kufikwa na umauti msaanii huyo alikua kwenye kipindi cha futuhi kinachorushwa STAR TV kila siku ya alhamisi 3:30 usiku.
Habari zinasema kuwa alizidiwa jana na kukumbizwa hospitali ya BUGANDO ambapo ndipo mauti yalipomkutia
Tunamuombea kwa Mwenyezimungu ampumzishe kwa amani
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Post a Comment
Post a Comment