Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This


TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, amemteua Dkt. Aziz Ponary Mlima kuwa Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kuala Lumpur, Malaysia.

Uteuzi huu umefanyika kufuatia kuwepo kwa nafasi wazi iliyoachwa na Balozi Abdul Cisco Mtiro, aliyestaafu kwa mujibu wa sheria.

Hadi uteuzi huu unafanyika Balozi Mteule Dkt. Aziz Mlima ni Msaidizi wa Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Benjamin Willi Mkapa.

----- Mwisho----

(John M. Haule)
KATIBU MKUU,
WIZARA YA MAMBO YA NJE
NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA,
DAR ES SALAAM

11 Desemba, 2013

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top