Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Baadhi ya mitandao tangu juzi imeandika kuwa muigizaji maarufu Swahiliwood Rose Ndauka huenda ana mimba baada ya  hivi karibuni kudaiwa kuugua ghafla alipokuwa location, na presha kumpanda pamoja na kichefuchefu wakati akishuti filamu yake mpya ya Jawabu na kupelekea kuomba msaada baada ya kujisikia vibaya. Baada ya habari hizo kuenea baadhi ya mashabiki wa muigizaji huyo mwenye kipaji cha kuigiza walituma ujumbe SWP ili kumuuliza star huyo kama ni kweli anatarajia kupata mtoto au lah. Hata hivyo Rose alipoulizwa na SWP alisema habari hizo sio za kweli na hana mimba. "sio kweli na kilichoandikwa sijakiongea"  alijibu kwa ufupi actress huyo aliyejaaliwa mvuto.
               http://swahiliworldplanet.blogspot.com

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top