Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Mwezi wa Ramadhan waumini wengi wa dini ya kiislaamu wanashauriwa kubadilisha mwenedo wa maisha yao na angalau kuutumia mwezi huu kutenda mambo mema. Sasa nakupa list na picha za watu maarufu ambao wamebadilika kabisa hasa kwenye upande wa mavazi. Angalia muonekano wa watu hawa zamani na sasa mwezi wa Ramdhan. ni kitu kizuri kuheshimu mambo ya dini kama hawa walivyofany. Lakini haya mabadiliko ni makubwa sana. Picha moja inamuonyesha star huyu akiwa na muonekano wake wa siku zote na nyingine jinsi alivyo hivi sasa mwezi wa Ramadhan


1
Diamond Platinumz lakini mwezi huu atapenda ukimwita Naseeb
2
Wema Sepetu

3
Shilole
4
Lulu
5
Omari Nyembo a.k.a Ommy Dimpoz
6
Shetta
7
Romie Jones
8
Jina lake ni Jeniffer Kyaka maarufu kama Odama kwenye Bongomovie
9
Kutoka Bongomovie anaitwa Batuli
10
Nagris Mohamed
11
Kutoka THT anajulikana kama Recho

credit: Millardayo.com

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top