nyang'anyang'a pia, Kosta kwa mbele ni balaa japo haijavunjika vioo. Dereva wa bodaboda amechanika kichwani na ametokwa na damu nyingi sana kichwani na masikioni, alikuwa kavaa kofia, pia amevunjika mguu kwenye paja ambao sidhani kama atapona maana ulivimba fasta!. Baada ya dakika tano pikipiki aina ya bodaboda iliyokuwa na abiria mmoja ilianguka umbali wa hatua 30 kutoka kwenye eneo la tukio yani ajali nyengine tena!, abiria ameumia sehemu ya miguu na pikipiki imeharibika japo si sana. Ntaendelea kuwajulishana kitakachoendelea wasomaji wangu..
IMERIPOTIWA KWA MASAI NYOTAMBOFU BLOG NA David Mtengile
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro








Post a Comment
Post a Comment