Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Mtu mmoja aliyejulikana kwa jina la Shabani Mrutu kwa mujibu wa vitambulisho vyake na mtumishi wa idara nyeti serikalini ameuwawa kwa kupigwa risasi tatu kifuani na watu wanaosadikika kuwa majambazi na kufariki papo hapo katika eneo la Magereji Tegeta kibaoni jijini Dar es Salasam.


Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top