Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Mtoto wa umri wa siku moja ameokolewa kutoka jaa la takataka la bakarani huko Mombasa . Kulingana na mama anayedai alimwokota, mtoto huyo alikuwa amefunikwa kwakaratasi ya nailoni na kuingizwa ndani ya sanduku kabla ya kuachwa kwenye eneo la kutupa taka la bakarani. Lakini anavyoripoti ferdinand omondi, huenda mtoto huyo hakuwa ametupwa kamwe.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top