Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Robin Van persie,Wayne Rooney,Tom Cleverley,Chris Smalling.. Wakiwa wemevaa UZI mpya wa msimu ujao.


zile Tetesi kwamba  mshambuliaji Wayne Rooney kuomba kuondoka MAN UTD,Zimefeli..so msimu mpya Wayne Roonye kama kadawia ataendelea kuichezea UNITED na hivyo ndo ambavyo anaonekana kwenye JEZI mpya..

Hawa ni baadhi ya wachezaji wa UNITED wakiwa wamevaa UZI mpya na bado unaendelea kutoa..

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top