Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Msanii wa Mziki na Filamu hapa Bongo, Baby Madaha aka queen of swaggz ampata mwanaume maarufu na kuanza kufanyiwa mambo makubwa ambayo hakutegemea kufanyiwa.

Licha ya kumpata mtu maarufu siku ya J,mosi tarehe 29.6.2013 atafanya utambulisho wa wimbo wake mpya wa ‘NITEGE’ pamoja na mavazi yake katika ukumbi wa Regency Mikocheni.

Pamoja na hayo kutakuwa na show mbalimbali zitakazotolewa, kutakuwa na designer alioshirikiana nao katika kubuni mavazi ambayo yataonyeshwa siku ya show yake.

“Yeah nimempata mtu maarufu na ni mtanzania (the famous and also is the symbol of Nation) ila sitaweza kumtaja jina hadi pale muda utapofika kila mtu atamjua”

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top