Alikiba ametoa ufafanuzi wa wapi #KingKiba ilitokea kiasi cha kuitumia katika sehemu nyingi. Akiongea kwenye kipindi cha Ngaz Kwa Ngaz kil...
VIDEO: Mama Wema Aeleza Beef yake na Man Fongo Kisa……..
NI Mama Wema Sepetu ambae ameingia kwenye headlines mitandaoni baada ya kutofautiana na mkali wa nyimbo za singeli, Man Fongo. Sas...
Mr Blue, Barakah Da’ Prince Wapatana
BAADA ya kutibuana kisa kikiwa Naj, hatimaye wakali wa Bongo Fleva, Mr Blue na Barakah Da’ Prince wameamua kuwa kitu kimoja. Wawili ...
Ray C aonyesha muonekano wake mpya.........Mashabiki Wampa Ushauri Mzito
Msanii wa muziki Rehema Chalamila ‘Ray C’ ameonyesha picha yake ya kwanza toka asaidiwe na jeshi la polisi miezi michache iliyopita baada...
Maneno ya Orijino Comedy kwa Jeshi la Polisi Kuhusiana na Kuvaa Sare za polisi
Hivi karibuni kundi la sanaa ya uigizaji la Orijino komedi liliingia matatani baada ya Jeshi la Polisi kanda maalum ya Dar es salaam ...
Hamisa Mobetto Aukata Mzizi wa Fitina kuhusu Tetesi za Kutoka na Diamond
Kwa muda sasa mlimbwende wa Tanzania, Hamisa Mobetto amekuwa akituhumiwa kutaka kumpindua Zari the Bosslady kwa Diamond Platnumz. Skendo ...
Msanii Ruby na Clouds FM Hapatoshi..Aikacha Show ya Fiesta Mwanza Kisa Maslahi Madogo
Mtandaoni wa Tizneez ametoa exclusive ya kwanini Msanii Ruby hakuonekana Mwanza wala kupanda katika jukwaa la Fiesta wakati alikuwa mmoja...
Wema Sepetu: Niacheni jamani Nimechoka
Wema Sepetu Msanii wa filamu nchini Wema Sepetu ameonesha kuchoka na maneno mbalimbali kutoka kwa watu hususani kwenye mitandao ya k...
Mahakama Yatoa Hati ya Kukamatwa Meneja wa Diamond ‘Babu Tale’
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetoa hati ya kukamatwa kwa Hamis Tale ‘Babu Tale,’ ambaye ni meneja wa mwanamuziki wa bongo flev...
Spika Wa Bunge Job Ndugai Akubali Kuzifumua Kamati Za Bunge.....Zitto Kabwe Kurudishwa PAC, James Mbatia Kamati Ya Bajeti
Baada ya malalamiko ya wabunge wa upinzani juu ya wajumbe wa kamati za kudumu za Bunge, Spika wa Bunge, Job Ndugai, anatarajia kuzipangu...
Kingine kilichoripotiwa kutoka Burundi ni hii ya Rais Nkurunziza Uwanjani (Pichaz)
Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza ameonekana akicheza mpira pamoja na marafiki zake mjini Bujumbura licha ya mgogora wa kisiasa nchi...
Rais Pierre Nkurunziza Asogeza Mbele Uchaguzi wa Wabunge Kwa Siku 10
Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza amesogeza mbele uchaguzi wa wabunge kwa siku 10 hadi Juni 5 mwaka huu kufuatia jaribio la mapinduzi...
Maandamano Yaibuka Tena Nchini Burundi Kumtaka Rais Pierre Nkurunzinza Kutogombea Tena
Waandamanaji mjini Bujumbura wakikimbia hovyo baada ya kurushiwa risasi za moto na Polisi. Bujumbura, Burundi Polisi mjini ...
Rais Pierre Nkurunziza Arejea Burundi Baada ya Jaribio la Kumpindua
Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza amerejea nchini humo, huku naibu kiongozi wa mapinduzi akikiri kuwa jaribio la kumuangusha Nkurunziza...
Wanajeshi wa Pande Hasimu Wakabiliana Burundi......Milio ya Mabomu na Risasi Yaendelea Kusikika.
Makundi hasimu ya wanajeshi yanakabiliana katikati ya mji mkuu wa Burundi- Bunjumbura, mahala ambapo tangazo lilitolewa jana Jumatano k...
Pichaz: Wananchi wa Burundi Waingia Mitaani Kushangiliwa Kupinduliwa Rais wa Nchini Hiyo Pierre Nkurunziza
Polisi hawaonekani katika mitaa ya mji mkuu wa Burundi, Bujumbura, kwa mujibu wa shirika la habari la AP. Taarifa zaidi zinasema maelf...
Breaking News: Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi Apinduliwa Kijeshi
Pierre Nkurunziza Ripoti kutoka Bujumbura zinasema kuwa kamanda mmoja wa kijeshi ametangaza kuwa hamtambui tena Pierre Nkurunziza...
Pichaz: Maandamano Yapamba Moto Nchini Burundi Watu Wawili Wauawa na Wengine Kadha Wajeruhiwa
Takriban watu wawili wameuawa wakati wa ghasia kati ya polisi na waandamanaji kwenye mji mkuu wa Burundi Bujumbura . Polisi walifyatu...













