Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
o-IPHONE-SMUGGLER-facebook
Jamaa mmoja aliyekuwa akitokea China kwenda Hong Kong ametiwa nguvuni kwa kosa la kusafirisha simu kwa njia ya magendo, huenda kilichomponza ni namna alivyokuwa akitembea.

Watu walimshangaa kutokana alivyokuwa akitembea, wakawashtua maafisa wa Usalama, wakamfuatilia mtu huyo ili kujua sababu ya yeye kutembea hivyo.
Jamaa huyo alionekana akitembea kama amezidiwa na kitu kizito, alionekana akiwa amebeba mifuko miwili ya plastiki lakini isingemfanya aelemewe kiasi hicho, alipofika kwenye mashine zilizokuwa kwenye uwanja wa ndege kwa ajili ya ukaguzi zilipiga kelele na alipokaguliwa alikutwa na simu 94 za iPhone 5 na 6 alizokuwa amezifunga kwenye tumbo, mikono na miguu yake kwa gundi.
iphone-smuggler-2
Simu hizo zilizuiwa huku Maofisa wa Usalama wakiendelea na upelelezi juu ya tukio hilo.
750px-iphonearmor
download (4)
download (3)

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top