Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Staa Vanessa Mdee amefanikiwa kunyukua Tuzo za #AFRIMA ambazo zilikuwa zinafanyika jana nchini Nigeria na ameshinda katika kipengele cha Best Female East Africa na kupitia akaunti yake ya Instagram alicho post ni hiki hapa chini

This is what she wrote on her Instagram page; “To God be the Glory, ThankYou soo much for voting - I love you #BestFemaleEastAfrica #Tanzania”

The event took place at Nigeria

Hongera sana Vanessa Mdee kwa kuiwakilisha Tanzania Vema kwenye Mashindano hayo 

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top