Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Wakazi wa mkoa wa Singida usiku wa kuamkia leo wamepata burudani ya kutosha ya Serengeti Fiesta ambapo zaidi ya wasanii 15 walitumbuiza.
Full shangwe Singida
Full shangwe Singida

Show hiyo iliyofanyika katika katika uwanja wa Namfua ilihudhuriwa na wakazi wa Singida na vitongoji vyake huku Nay wa Mitego, Mr Blue, Dully Sykes, Makomando, Linah, Recho, Mwana FA, Nick wa Pili, Jambo Squad, Mo Music, Barakah Da Prince, Edo Booy, G Lack, Stamina pamoja na Young Killer walitoa burudani ya kutosha.
Adam Mchomvu alipata wakusambaza nae upendo
Adam Mchomvu alipata wakusambaza naye upendo

Barakah
Barakah

Dj Fetty na Adam Mchomvu
Dj Fetty na Adam Mchomvu

Dully akiimba na wakazi wa Singida
Dully akiimba na wakazi wa Singida

Edo Booy
Edo Booy

Full raha Singida
Full raha Singida

Ice Boy
Ice Boy

Jambo Squad wakionyesha uwezo wao
Jambo Squad wakionyesha uwezo wao

Linah akiwa na team yake
Linah akiwa na team yake

Linah na Mwana FA
Linah na Mwana FA

Linah
Linah

Lugha Kali
Lugha Kali

Member wa kundi la Jambo Squad
Member wa kundi la Jambo Squad

Mo Music
Mo Music

Mr Blue akifanya yake
Mr Blue akifanya yake

Mtangazaji wa clouds TV Lugha khali
Mtangazaji wa Clouds TV Lugha Khali

Mwana FA
Mwana FA

Nay wa Mitego
Nay wa Mitego

Nikki wa Pili akifanya yake
Nick wa Pili akifanya yake

Recho akiwa dance wake
Recho akiwa dancers wake

Recho
Recho

Stamina na Nay wa Mitego
Stamina na Nay wa Mitego

Stamina
Stamina

Utaipenda tu!
Utaipenda tu!

Wadau wa Singida wakifurahia burudani
Wadau wa Singida wakifurahia burudani

Wadau wakipata burudani
Wadau wakipata burudani

Wasanii pamoja na wadau fiesta walipanda jukwaani na kucheza kwa pamoja
Wasanii pamoja na wapenzi wa Fiesta walipanda jukwaani na kucheza kwa pamoja

Y Tonny akiwa na mwenzake
Y Tony akiwa na mwenzake

Young Killer Msodoki
Young Killer Msodoki
Picha na Bongo5

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top