Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Hitmaker wa ‘Skelewu’ Davido wa Nigeria anatarajia kuja nchini Tanzania kwa mara nyingine tena.
1173075_624316654347887_1112875570_n
Mwaka jana msanii huyo alikuwa miongoni mwa wasanii waliotumbuiza kwenye Serengeti Fiesta, jijini Dar es Salaam.
Hata hivyo haijaweza kujulikana mapema iwapo atakuwepo pia kwenye Fiesta ya Dar mwaka huu. Kuna tetesi zingine kuwa kituo kingine kikubwa cha redio cha Dar ndicho kinamleta.
“Paris was great next stops!! LONDON-LAGOS-WARRI-SOUTH AFRICA-NAMIBIA-TANZANIA Lego,” ameandika staa huyo kwenye Instagram.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top