Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Kuna tetesi kuwa lile shepu la Nick Minaj lile ni la kutengeneza...Wiki chache zilizopita pia kulikuwa na ripoti kuwa mkali wa ngoma ya Anaconda Nick Minaj alijiumiza makalio yake alipokuwa akipafomu kwe VMAs..wengi hawakuamini lakini usiku wa ijumaa alikuwa akitumbuiza kwenye Tamasha la muziki la iHeartRadio Music Festival huko MGM Grand Garden Arena, Las Vegas Shepu hiyo ya Nick ilizua maswali baada ya kuonekana imeinamia upande mmoja kuliko mwingine kitu ambacho si cha kawaida...jionee!


Mmmh makubwa

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top