Producer Man water wa studio ya Combination Sound aka Combinenga ameuaga rasmi ukapela baada ya kufunga ndoa na mchumba wake Matilda Jimmy weekend iliyopita.
Harusi ya mtayarishaji bora wa mwaka – kizazi kipya (KTMA) ilifanyika katika ukumbi wa Karimjee siku ya Jumamosi September 20.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro






Post a Comment
Post a Comment