Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
 
Jambazi sugu limeuawa na kuchomwa moto Mkoani Dodoma katika wilaya ya Chamwino kijiji cha Fufu. Kabla ya Jambazi hilo kuuawa na wanachi unaambiwa lilikuwa linataka kufanya uhalifu na baada ya kushindikana likaamua kuuwa raia wawili kwa bastola aliyokuwa nayo. Jambazi hilo lililokuwa na wenzake watatu ambao walikimbia na hawakufanikiwa kukamatwa. Ingawa Askari wakishirikiana na Raia wema wakiendelea kuwasaka hao watatu waliotoroka...Hadi ripota wa blog hii akiondoka eneo la tukio jambazi hilo lilikuwa linazidi kuteketea kwa moto na kubakia majivu..


 
Wananchi wakishuhudia mwili wa jambazi likiteketea kwa moto.
Bonyeza Hapa like ukurasa wetu wa facebook 

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top