Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Muimbaji Hamis Baba maarufu kama H.Baba amemnunulia vifaa vya muziki binti yake, Tanzanite na kuanza kumfunza kuvitumia. Pia amesema mwanae huyo akianza tu kuongea atampeleka studio.
o-530x530

H.Baba amesema mwanae huyo ana kila dalili za kuja kuwa mwanamuziki kama wazazi wake.
“Mwanangu mimi ana dalili zote za kuja kuwa mwanamuziki kwa sababu kila kitu anakionyesha,” H.Baba ameiambia Bongo5. “Nimemnunulia keyboard lakini nimemwachia ndani kaanza kubinya mwenyewe anajua nikibonyeza hapa inalia hii na hii. Mimi nakuwa namwonyesha piga hapa piga hapa. Yaani namuomba mwenyezi Mungu tu akiweza kuchanganya maneno tu basi anaingia kwenye muziki moja kwa moja.”
Bonyeza Hapa like page yetu

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top