Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Mwanamuziki wa RnB Tanzania amezua balaa katika baada ya kupost picha ya mwimbaji wa kike Alicia Keys akiwa mtupu na mjamzito na kuandika ‘I Love it’ .
 Picha hiyo imepokelewa kwa mitazamo tofauti ya mashabiki wanaomfuata Instagram ambapo wengine walionesha kushangazwa na kitendo hicho huku wengine wakimsapot na kumtetea wakieleza kuwa hakuna kosa kwa kuwa alikuwa anasapoti kampeni ya ‘We are Here’ inayopewa nguvu na Alicia kwa mtindo huo

 Kampeni hiyo inatafuta sapoti ya watu wote duniani wanaopenda dunia iwe na amani kwa ajili ya kuwalinda zaidi watoto. Alicia amefanya wimbo maalum kwa ajili ya kampeni hiyo na ameeleza kuwa anataka dunia nzima iuimbe.Ingia hapa kufahamu zaidi kuhusu kampeni ya We Are Here inayolenga katika kuhamasisha amani na uzazi salama kwa ajili ya watoto wote duniani.

 “It’s you and me on a mission to create a kinder and more peaceful world. The #WeAreHere Movement begins today. Read more here and thank you @nickkristof for sharing your bright voice with all of us. (Link in bio).” Aliandika Alicia kwenye post yake aliyoweka picha hiyo.  


KUONA PICHA HIYO BONYEZA HAPA
KUONA PICHA HIYO BONYEZA HAPA

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top