Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Ali Kiba na Lady Jaydee wanatarajiwa kupanda jukwaa moja na rapper Nicki Minaj, Macklemore and Ryan Lewis, J Cole na Kid Ink kwenye tamasha kubwa zaidi kuwahi kutokea barani Afrika, la Tribeone Dinokeng’ litakalofanyika Tshwane, nchini Afrika Kusini mwezi September mwaka huu.
10378148_776635619026578_5357518240846368181_n
Wasanii wengine wa Afrika watakaotumbuiza ni pamoja na Jaguar, Redsan, Nameless na Xtatic wa Kenya, Wizkid wa Nigeria, Fally Ipupa wa Congo, Maurice Kirya, Keko, Naava Grey wa Uganda pamoja na rappers wa Afrika Kusini, Khuli Chana na AKA.
bendi
Tamasha la ‘TribeOne Dinokeng’ limeandaliwa na ROCKSTAR4000 na Sony Music Entertainment na litafanyika 26-28 September.
kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu BONYEZA HAPA
 

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top