Rais Yoweri Museveni wa Uganda atia saini mswada wa sheria dhidi ya picha za ngono.
Ikiwa
unaishi Uganda na unapenda kuvaa nguo fupi, zinazokubana bana au
zinazoonyesha sehemu za mwili ambazo zaweza kuwafanya watu wa jinsia
nyingine kusisimkwa na kutamani kushiriki ngono nawe, basi jua uko
taabuni.
Hii ni kwa sababu rais Yoweri Museveni ametia saini mswada dhidi ya picha za ngono ambao unapinga mavazi yasiyo ya heshima haswa yanayovaliwa na wanamziki na picha za watu wakiwa uchi. Mwandishi wetu wa Kampala Leylah Ndinda na taarifa zaidi.
>>>>>DW
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro






Post a Comment
Post a Comment