Mmesikia matokeo ya Kidato cha 4 mwaka 2013? BOMBAAAAA!!! Yanatia moyo. NAJISIKIA RAHA, .........SANA!
....... YES, WE DID IT.
HONGERENI wanafunzi, walimu, wazazi, wadau na Watanzania Mmefanya kazi kubwa, nzuri! Tumethubutu na tumeweza.
Ufaulu asilimia 58.2. SASA TUNASONGA MBELE.
NIKO POA, .......... SANA, WEWE JEE? ........................
Haya ndio aliyoyapost waziri wa elimu juu ya matokeo ya kidato cha nne 2013 katika PAGE yake ya SHUKURU KAWAMBWA FACEBOOK.
ukitaka ujishuhudie CLICK LINK hii >> shukuru.kawambwa
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro






Post a Comment
Post a Comment