Mkali wa miondoko ya bongo fleva anatamba na ngoma yake kali
aliyomshirikisha OMMY DIMPOZI chukua tyme SUMA MNAZALETI ameyasema
maneno hayo leo kwa njia ya masseji Alisema'' ebana nadhani unajua nini
kinaendelea kuhusu lady jaydee! nachukua nafasi hii we kaka yangu ambaye
umenisaidia sana kwa mda mrefu kukujulisha kuwa mdogo
wako,Nitakuwa msanii miongoni mwa wasanii wanao support maneno ya lady jay dee Nakwambia haya kwasababu najua umenisaidia sana,but kama baada ya haya utaamua kuona sifai sio tatizo pia! no interview 4 NOW Nilikuwa nakupa habari kama ndugu yangu wa karibu. lakini kama hili unaliunga mkono sio mbaya ukinijulisha kwamba hakuna tatizo na unaendelea kusaport kazi zangu. alimaliza kwakuandika jina lake suma mnazaleti.
wako,Nitakuwa msanii miongoni mwa wasanii wanao support maneno ya lady jay dee Nakwambia haya kwasababu najua umenisaidia sana,but kama baada ya haya utaamua kuona sifai sio tatizo pia! no interview 4 NOW Nilikuwa nakupa habari kama ndugu yangu wa karibu. lakini kama hili unaliunga mkono sio mbaya ukinijulisha kwamba hakuna tatizo na unaendelea kusaport kazi zangu. alimaliza kwakuandika jina lake suma mnazaleti.
Chanzo:the chice
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Post a Comment
Post a Comment