Home
»
Habari kitaifa
» Rais Magufuli Aongoza Kikao cha Kwanza Cha Baraza La Mawaziri Ikulu Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akiongoza kikao cha Baraza la Mawaziri Ikulu jijini Dar es salaam Alhamisi tarehe 18, 2015. Kulia kwake ni Makamu wa Rais Mhe Samia Suluhu Hassan na kushoto kwake ni Waziri Mkuu Mhe Majaliwa Kassim Majaliwa.
Kikao hicho ni cha kwanza kufanyika tangu Rais Magufuli atangaze Baraza la Mawaziri la Serikali ya Awamu ya Tano wiki iliyopita.
PICHA NA IKULU
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Je Umezisoma Hizi?
- Hivi Ndivyo Mabilioni ya Pesa Yalivyotafunwa NSSF Mpaka Kusababisha Wakurugenzi Sita Kutumbuliwa20 Jul 20160
UBADHIRIFU wa fedha na ukiukwaji wa taratibu na sheria katika usimamizi wa miradi kadhaa ya Shiri...Read more ?
- Mikoa ya Dar es Salaam na Dodoma Yaongoza Kwa Mapenzi ya Jinsia Moja20 Jul 20160
Takwimu zilizotolewa na wizara ya afya, maendeleo ya jamii jinsia , watoto na wazee nchini z...Read more ?
- Serikali Yaamua Kuwarudisha Wanafunzi 382 kati ya 7805 Waliofukuzwa Chuo Kikuu cha Dodoma19 Jul 20160
May 28 2016 Serikali iliwarejesha nyumbani wanafunzi 7,805 waliokuwa wanasoma Stashahada Maalum ...Read more ?
- Bakwata Walaani Mauaji Ya Watu Watatu Msikitini Mwanza22 May 20160
Wakati Rais John Magufuli akitoa salamu za pole kwa wakazi wa jiji la Mwanza, kutokana n...Read more ?
- Wabunge Wampa Makavu Waziri Kitwanga Aliyetumbuliwa Jipu Kwa Ulevi22 May 20160
Siku moja baada ya Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga kutimuliwa nafasi hiyo kwa...Read more ?
- Dkt. Kingwangalla atumbua MAJIPU ya watumishi wachelewaji wa Wizara ya Afya18 Dec 20150
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kingwangalla a...Read more ?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Post a Comment