Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Unakumbuka Diamond aliwahi kumrecord wema wakati yupo na Penny ? Sasa ni zamu ya Nuhu mziwanda, Wema amemrecord Nuh wakati anamtongoza.
Kwenye hii audio Wema anasikika akisimamia msimamo wake wa kuwa hawezi kuwa na Nuh kwasababu yeye na shilole ni marafiki, “hasa hizo tatoo unazifanya nini ? .. hizo tatoo zako za shishi baby unazifanya nini ? au na mimi unanichora hehe ? ” anasikika wema
shilole-na-nuhu-mziwanda1
Hii audio inaweza ikawa imevuja wakati mmbaya sana hasa ukizingatia ni kipindi ambacho mpenzi wake Nuh mziwanda, Shilole yupo kwenye matatizo ya kufungiwa kujihusisha na kazi yoyote ya kisanaa. Audio hiyo inaoneshwa ni ya muda kidogo kwasababu Wema anasikika akizungumzia kwenda kwenye KTMA.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top