March 16, 2025 02:50:19 PM Menu
 

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Katika Mkutano wa Lowassa Huku Arusha wa Kutangaza nia ya Urais Mchungaji Askofu Gwajima wa Kanisa la Ufufuo alikuwa mmoja wa Watu waliopewa nafasi ya kuongea..Askofu Gwajima Alipopewa Kipaza Sauti aliwabeza watu wanaomchukua Lowassa na Kudai Wanaokerwa Wakale Malimao Kwani Lowassa ndio Joshua wa Kuwavusha Watanzania Katika Nchi ya Ahadi ...

Sasa watu mbali mbali wanamuuliza YAKO WAPI MALIMAO ULIYOSEMA?

Angalia Video Hapa Akitoa Vijembe Vyake vya Kula Malimao.......

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
23 Jul 2015

Post a Comment

 
Top