Home
»
tanzia
» Mwili wa Sheikh Mkuu wa Tanzania, Mufti Alhaj Sheikh Shaban Issa Bin Simba Kusafirishwa Leo Kwenda Mkoani Shinyanga Kwa Taratibu za Mazishi
MWILI wa Mufti ,Alhaj Sheikh Shaban Issa Bin Simba unataraji kusafirishwa leo Jumanne Juni 16 saa 3 asubuhi, kuelekea mkoani Shinyanga kwa ajili ya taratibu za mazishi.
Akizungumza na waandishi wa habari kwenye Makao Makuu ya Baraza Kuu la Waislam Tanzania (Bakwata), Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhaj Mussa Salum, amesema mwili wa marehemu utaswaliwa kesho (leo) katika Msikiti wa Msilimu, viongozi mbalimbali wa dini na serikali watakuwepo.
Amesema marehemu amefikwa na umauti huo, baada ya kusumbuliwa sana na sukari,Shinikizo la Damu (BP) pamoja na Figo.
Hata hivyo amesema kuwa juzi (Jumapili) Mufti alifanyiwa oparesheni ya figo katika Hospitali ya TMJ Jijini Dar es Salaam.
Salum amesema marehem anatarajiwa kuzikwa leo jumanne majira ya saa kumi arlasiri mkoani mkoani Shinyanga .
Sehemu ya wanawake waliofika nyumbani kwa Marehemu Mufti Alhaj Sheikh Shabaan Issa Bin Simba Mikocheni B jijini Dar es Salaam .
Sheikh Mkoa wa Dar es Salaam,Alhaj Sheikh Alhad Mussa Salum akibadilishana mawazo na Sheikh wa Mkoa wa Kigoma Hassan Kiburwa walipofika nyumbani kwa Marehemu Mufti ,Mikocheni B jijini Dar es Salaam
Kulia ni Sheikh wa Mkowa Dar es Salaam,Alhaj Sheikh Alhad Mussa Salum akiwa na baadhi ya Masheikh waliofika Nyumbani kwa Marehen Mufti,Shabaan Issa Bin Simba Mikocheni B Jijini Dar es Salaam.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Je Umezisoma Hizi?
- Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) afariki dunia18 Jan 20160
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Mhandisi Suleiman Said amefari...Read more ?
- Tanzia: Mwandishi wa 'Ngoswe, Penzi Kitovu cha Uzembe' afariki18 Jan 20160
Mwandishi maarufu wa tamthilia na kitabu cha ‘Ngoswe, Penzi Kitovu cha Uzembe’, Edwin Semzaba am...Read more ?
- Tanzia: Leticia Nyerere Afariki Dunia11 Jan 20160
Aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Leticia N...Read more ?
- PICHA: MWILI WA MAREHEMU CELINA KOMBANI WAWASILI NCHINI26 Sep 20150
Viongozi mbalimbali wakiwa katika uwanja wa n...Read more ?
- Picha Kutoka Msibani Nyumbani kwa Akina Banza Stone Sinza Dar…18 Jul 20150
Kulikuwa na stori ya uzushi mitandaoni na June 24 nikamfata nyumbani kwao Sinza na kwenye m...Read more ?
- MAJONZI: Mwanamuziki Banza Stone Afariki Dunia17 Jul 20150
Staa wa Muziki wa Dansi Bongo, Ramadhan Masanja ‘Banza Stone’ amefariki dunia mchana huu baada y...Read more ?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Post a Comment