Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Sakata la Mwanamuziki Shilole kucheza  huku baadhi ya sehemu za matiti zikiwa wazi limechukua sura mpya Bungeni leo kufuatia Naibu Waziri wa Habari vijana na Utamaduni na Michezo Juma Nkamia kutangaza kuwa  inasubiria uamuzi wa Baraza la sanaa Taifa (Basata).
 
Aidha, Nkamia amesema   suala la shilole hivisasa lipo chini ya Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA)  ambapo mara baada ya kumaliza mahojiano naye litapelekwa wizara ya habari vijana na utamaduni  na michezo kwa hatua nyingine zaidi.
 
Hivi karibuni Shilole  aliwaomba  msamaha watanzania  kwa madai kuwa anajutia kutozingatia maadili katika onesho hilo lililofanyika nchini Ubelgiji na  kuzua gumzo nchini Tanzania.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top