Home
»
Stori muhimu
» Afrika Kusini hakukaliki, raia wa kigeni washambuliwa, baadhi wauawa, Malawi kuwaondoa watu wake
Vurugu kubwa zilizoenda sambamba na uporaji mali, zimeibuka jana usiku kwenye mji wa Durban nchini Afrika Kusini ambapo raia wa kigeni wamelengwa.
Baadhi ya watu wameuawa na maelfu kukimbia makazi yao kufuatia kuendelea kwa mashambulio hayo.
Makundi makubwa ya raia wa Afrika Kusini yalikuwa yakizunguka kwenye maduka mbalimbali yanayomilikiwa na wageni na kupora mali. Fujo hizo zinaendelea katika maeneo mbalimbali ya Durban.
Maduka mengi yamechomwa moto licha ya polisi kuongeza nguvu ya ulinzi.
Mwamvita Makamba ni miongoni mwa raia wa kigeni walioathirika na fujo hizo ambapo gari yake ilipigwa risasi.
Wakati huo serikali ya Malawi jana ilisema kuwa itawasaidia raia wake kuondoka nchini humo. Zaidi ya raia 360 wa Malawi wamepoteza makazi yao na kila kitu.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Je Umezisoma Hizi?
- BREAKING NEWS: Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha ametangaza rasmi tarehe ya kurudiwa kwa uchaguzi mkuu wa Zanzibar22 Jan 20160
Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha ametangaza rasmi tarehe ya kuru...Read more ?
- Rais Dkt. Magufuli Amteua Jakaya Kikwete Kuwa Mkuu Wa Chuo Kikuu Cha Dar Es Salaam.21 Jan 20160
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Rais Mstaafu wa awamu ...Read more ?
- JANUARY MAKAMBAASHANGAZWA NA HAYA MAGAZETI MATATU KUHUSU LOWASSA02 Sep 20150
Naibu waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba ameonesha kushangazwa na mfa...Read more ?
- Polisi Yakamata Majambazi 38 Yakiwa na silaha Nzito pamoja na Milioni 170......Majambazi hayo yanadaiwa na mafunzo ya Kijeshi01 Sep 20150
Jeshi la Polisi limewakamata watu 38 wanaotuhumiwa kuwa ni majambazi ambao pia wamepatiwa mafun...Read more ?
- Wananchi Wafunga Barabara Baada ya Gari la Polisi Kugonga Wanafunzi wawili31 Aug 20150
Wananchi wa eneo la Misugusugu Wilayani Kibaha Mkoani Pwani hii leo wamefunga barabara baada ya...Read more ?
- Hali Tete Bunda, Viongozi CHADEMA Wajiuzulu...Kisa Ester Bulaya22 Aug 20150
SIKU chache baada ya mgombea ubunge wa Jimbo la Bunda Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maend...Read more ?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Post a Comment