Mwanamke mmoja mwenye umbo la miraba minne ambaye unaweza kumuita Bonge baada ya jina lake kutopatikana mara moja, wikiendi iliyopita alifikwa na msala mkubwa alipo bambwa na sungusungu akifanya mapenzi kwenye kichaka na dereva wa teksi.
Chanzo chetu kilidai kuwa Bonge huyo alikuwa na wenzake wakitoka kwenye kicheni party, walipofika maeneo ya Sinza-Afrika Sana jijini Dar, aliwachenga wenzake baada ya kumpata dereva huyo ambaye aliahidi kumpa kiasi f’lani cha fedha ili ‘wakalicheze segere’ usiku mnene.
Wakiwa katikati ya mchezo, jirani mmoja alisikia miguno ya kimahaba hivyo alipenyua pazia la dirisha lake na kuwashuhudia laivu kitendo ambacho kilimkera ambapo alitoka nje na kwenda kuwaita sungusungu ambao walifika na kuwatimua wawili hao huku bonge akitimka mbio na kuacha nguo yake ya ndani na kadi ya mwaliko wa kitchen party.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Je Umezisoma Hizi?
- Wanafunzi wa Shule ya Msingi Wajiuza kwa Shilingi 2000 Wateja Wao Wakubwa ni Madereva Bodaboda21 May 20150
UKISTAAJABU ya Musa utayaona ya Farao! Kumekuwa na madai ya baadhi ya wanafunzi wa shule ...Read more ?
- Pichaz: Pati 2 ya Padri wa Kanisa Katoliki Aliyenaswa Kichakani Akila Uroda na Kondoo Wake Jijini Dar19 May 20150
KISA cha Padri Anatoly Salawa (pichani) ambaye pia ana cheo cha Katibu Mtendaji wa Idara ya ...Read more ?
- Pichaz: Wasanii Chipukizi wa Bongo Wanaswa kwa Ufuska Live..!18 May 20150
SHABAASH! ‘Makinda’ wawili wanao penyapenya katika sanaa ya maigizo runingani wa Kundi la San...Read more ?
- Fumanizi la Aina Yake......Padri wa Kanisa Katoliki Anaswa Kichakani Akila Uroda na Kondoo Wake Jijini Dar15 May 20150
KAMA mti mbichi unatenda haya, itakuwaje kwa mti mkavu?! Ndivyo inavyoweza kutafsiriwa kwa K...Read more ?
- Mwanaume Afumaniwa Gesti Na Mke Wa Rafiki Yake14 May 20150
Kashikashi za kuambiwa umefumaniwa zisikie kwa mwenzako tu! Utakuta mtu mkubwa, bonge, lakini ak...Read more ?
- Sharobaro, Hausigeli Wanaswa Live Sebuleni kwa Boss.....So Latinga Polisi06 May 20150
Kijana mmoja mtanashati, aliyefahamika kwa jina la Faraja Adam mkazi wa Makongo jijini Dar ...Read more ?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Post a Comment