Home
»
Entertainment
» Sasa Lile Timbili la Mkali Nani Kati ya Diamond na Ali Kiba Lahamia Kwa Kina Dada Kuwashindanisha Kukata Viuno Duuuh!
Baada ya kuwa na sakata la muda sasa la mkali nani kati diamond na Ali kiba team hizi zimefikia hadi kwa kina dada sasa mara baada ya ali kiba kutoa wimbo wa chekecha na vimwana kuji cheketua kupitia video team diamond wakaona isiwe kesi na wao wakaporomosha mzigo wa nasema naye toka kwa diamond akiwa na Mwana mama Khadija kopa hapa napo kina dada wameanza kuwakilisha wimbo kwa kujirekodi wakimwaga mauno ya hatari tupu.
Hii haikutosha Mtu mzima diamond akakazia zaidi kwa kuonyesha kapania kweli kweli hilo shindano kwa kuandika kitu hichi kwenye kurasa yake ya instagram kudhihirisha yupo serious kweli kweli na viuno vya kina dada watao jirekodi video kucheza wimbo wake huu mpya wenye mahadhi ya pwani!!
Ndipo bila hiyana Team michepuko ikaona heri ikuletee ushudie mwenyewe kati ya hawa kina dada wa timu hizi mbili walio jirekodi video nani makaliii TEAM KIBA VS TEAM DIAMOND!!!
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Je Umezisoma Hizi?
- Diamond kuwania tuzo 5 za Afrima 2016, Alikiba na Yamoto Band moja08 Sep 20160
Diamond Platnumz ametajwa kuwania vipengele vitano kwenye tuzo za mwaka huu za Afrima. Vipeng...Read more ?
- Ujumbe wa Diamond kwa bintiye Wazua Gumzo......Kamwambia "Ukikua chonde mama ukitunze wasikile sana"23 Jul 20160
Diamond Platnumz si mgeni kwenye jumbe tata kwenye mitandao ya kijamii. Lakini ujumbe wake mpya...Read more ?
- Bifu Kali Kati ya Diamond na Clouds Media23 May 20160
Ni dhahiri sasa msanii wa kimataifa Diamond na brand kubwa ya radio na tv Clouds Fm, bifu la hadh...Read more ?
- Afande Sele Aungana Na Mbunge Joseph Msukuma Kuitaka Serikali Ihalalishe Matumizi Ya Bhangi02 Feb 20160
Msanii mkongwe wa hip hop nchini, Afande Sele amefunguka na kusema serikali ihalalishe matumiz...Read more ?
- Gari Jipya Analomiliki Masanja Mkandamizaji.10 Jan 20160
Msanii wa Vichekesho Anawakilisha kundi la Orijino Komedi anayejulikana kama Masanja Mkand...Read more ?
- Zari The Lady Boss Awakosha Mashabiki wa Penzi lake na Diamond Kwa Picha Hizi09 Jan 20160
Zari the Boss Lady ‘Mama Tiffah’ amewakosha mashabiki wa penzi lake na Diamond ‘Baba Tiffah’ baada...Read more ?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Post a Comment