Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Amber Rose
Tangu aachane na mume wake, Wiz Khalifa, Amber Rose amekuwa kama fisi aliyekabidhiwa bucha.

If only this beach was actually Topless #Maui, ameandika kwenye picha hii aliyoiweka Instagram

Mrembo huyo ambaye ni mama wa mtoto mmoja aliyempata kwenye ndoa yake na Wiz ni kama ameunyofoa mshipa wake wa aibu na kumwaga radhi au tuseme kuwapa raha mashabiki wake wa kiume wanaomfollow Instagram kuwa kuwaonesha ni kitu fani Wiz anakikosa.
Kutokana na Maadili tumeshindwa kuweka picha zote nyingine iko hapa

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top